Msafara
wa Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja ukiwasili katika
viwanja vya Chuo cha ufundi Ruanda Jijini Mbeya kwa ajili ya kuwatunuku
nishani Maaskari wa Jeshi la Magereza
Kamishina
Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja Akikagua Gwaride maalum
lililoandaliwa na maaskari wa Jeshi la Magereza kwa ajili yake mara
baada ya kuwasili katika viwanja hivyo kwa ajili ya kuwatunuku nishani
Maaskari.
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akipokea Salam za heshima kutoka kwa Askari wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya
Baadhi ya Maaskari wa Jeshi la Magereza wakitoa heshima kwa Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja (ambaye haonekani pichani) wakati wa hafla ya kuwatunuku nishani.
Brass band ya Jeshi la Magereza kutoka Kiwira Rungwe wakitumbuiza katika Sherehe hizo
Baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Magereza wakiwa wamesimama kwa ukakamavu kutoa heshima kwa Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja
Baadhi ya Maaskari wastaafu wa Jeshi la Magereza pamoja na maofisa wakifuatilia kwa umakini Sherehe za kutunuku nishani
Baadhi ya Maaskari wakisubiri kutunukiwa nishani kutoka kwa Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja
Askari Mwanamke akitembea kwa ukakamavu kuelekea eneo linalotumika kutunukia Nishani kwa Maaskari wa Jeshi la Magereza
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja (kulia) akimvisha nishani ya utumishi ulio Tukuka Tanzania ACP Hawa M. Simon ambaye pia ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Rukwa.
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja Akimvalisha Nishani SGT ambaye Jina lake halikupatikana Mara Moja.
Kamishina
Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akimvisha Nishani ya utumishi
mrefu na tabia njema SGT Yusufu F. Nzunda kutoka chuo cha Magereza
Kiwira 
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja Akimvalisha Nishani SGT ambaye Jina lake halikupatikana Mara Moja.
Kamishina
Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja Akimpongeza Askari mara baada ya
kutunukiwa nishani ya utumishi mrefu na Tabia njema.
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja Akiwa katika picha ya pamoja na Maaskari 29 waliotunukiwa Nishani mbalimbali
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Magereza wastaafu.
Kamishina
Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akiwa katika picha ya pamoja na
baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Mbeya
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanawake waliotunukiwa Nishani
Kamishina Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akibadilishana jambo na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Barakael Masaki
Kamishina
Jenerali wa Magereza CGP John C. Minja akiwa katika picha ya Pamoja na
Afisa Habari wa Jeshi la Magereza Makao Makuu Insp. Lucas Mbonje
wakizungumza na waandishi wa Habari mbalimbali wa Mkoa wa Mbeya.
No comments:
Post a Comment