Tuesday, June 4, 2013

KIBANDA NAE JANA HIYO HIYO AKALEJEA HIVI

 
Waandishi wa habari wakiwa na bango nje ya mlango wa kutokea wasafiri.
 
Absalom Kibanda akiingia airport.…
 
Waandishi wa habari wakiwa na bango nje ya mlango wa kutokea wasafiri.
 
Absalom Kibanda akiingia airport.
 
Mabango ya wanahabari.
 
Kibanda akiwasalimia waandishi wenzake.
                                               
  …Akilia kwa furaha baada ya kurejea nyumbani.

                                                                         
  …Akiondoka uwanjani.
BAADA ya kuwa Afrika Kusini  majuma kadhaa kwa ajili ya matibabu, Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya New Habari 2006 na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda, hatimaye  amerejea nyumbani leo mchana na  kulakiwa na mamia ya waandishi wa habari.
                                               (Picha na Chande Abdallah na Denis Mtima)

No comments:

Post a Comment