Tuesday, October 15, 2013

ZIARA YANGU YA RUAHA NATIONAL PARK

Safari ilianzia ijumaa Tar.12/10/2013 pale Ubungo

Mchuma wenyewe ulikuwa ni huu mwanzo mwisho

Kufika pale Mwidu tukakutana na bonge la Jam wacha tukeshe hapo


Naambiwa ilikuwa salama hakuna majeruhi aliyefariki

Lilikuwa limesheheni mkaa, liligonga Lori jingine

Hatimae tukaingia Moro nakupata Msosi

Tukaingia Iringa usiku saa 5;30 na kwenda kupata msosi pale Miami

Safari ya Ruaha ikiwa imechanganya kwa barabara ya vumbi Takribani Km.138 mpaka ufike mbugani

Tukaingia getini Ruaha

Lazima upitie sheria na masharti ili ujiridhishe

Hapa lazima ufanye malipo ndipo uzame ndani

Tulikaribishwa na huyu nembo ya Taifa kabla hatujatua makao makuu ya mbugani

Vile vile tukaona Viboko na Mamba kabla hujafika makao makuuu

Nguvu ya mamba ipo mumayi
Nitaaendelea baadae...........

No comments:

Post a Comment