Tuesday, October 15, 2013

MWENGE ULIVYO ZIMWA IRINGA

Kiongozi  wa mbio  za mwenge  wa Uhuru Taifa  Juma Alli Simani kushoto akimkabidhi mwenge  wa  uhuru  Rais Jakaya  Kikwete mara baada ya  kuhitimisha  mbio hizo mkoani Iringa juzi
 Vijana  wa halaiki   kutoka  shule mbali mbali za Manispaa ya  Iringa  wakionyesha umahili  wao katika kutoa ujumbe wa Mwenge






 Askari  wa FFU  Iringa  wakiwa  wamemkamata  kijana ambae jina lake  bado kufahamika  aliyetaka  kuvamia mwenge  kwa  nia mbaya  wakati wakimbiza  mwenge  wakiwa mbioni kukabidhi mwenga kwa Rais Jakaya  Kikwete uwanja wa Samora Iringa
 Watoto  wa halaiki  wakiwa  wamepumzika
 Rais  Jakaya  Kikwete akiwa amekabidhiwa  rasmi  mwenge wa  Uhuru leo  baada ya  kuhitimisha mbio  zake nchini
 Rais Kikwete  akiwa ameushika mwenge wa Uhuru  leo  uwanja wa  samora  Iringa
 Rais Jakaya  Kikwete  akiwa  katika picha ya pamoja na washindi  wa mbio za mwenge kikanda na jumla  leo
 Rais Jakaya  Kikwete akipokea  mwenge kwa ajili ya  kupiga picha ya  pamoja na washindi wa mbio  hizo kikanda






 Rais  Jakaya  Kikwete akiwa na  viongozi wa  dini  walioshiriki  kumwomba dua baba wa taifa  leo
 Rais Kikwete akisalimiana na askofu wa Roman Katoliki leo

 Wageni mbali mbali wakiwemo mabalozi  wakiwa katika picha ya pamoja na rais Kikwete




 Wabunge pamoja na  makamu mwenyekiti wa CCM bara

 Mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akimpongeza Rais Jakaya  Kikwete kwa  hotuba yake  nzuri " Mheshimiwa Rais  nimeipenda sana hotuba yako leo"
 Rais Kikwete akiwa na  wabunge wa Chadema Iringa ,mchungaji Peter Msigwa na Chiku Abwao ambao  pia  walishiriki kilele  cha mbio za mwenge
 Rais Kikwete akipongezwa na mbunge Chikua Abwao na mbunge Msigwa kushoto

 Mbunge  Chiku Abwao  akipiga  picha ya Spika makinda  leo uwanja wa samora


 Rais Kikwete katika picha ya pamoja na wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania na spika Makinda  wa tatu  kulia

 Rais Kikwete  katika  picha ya pamoja na wakuu wa  wilaya nchuini

 Mke wa rais Mama  Salima Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na spika Makinda na wakimbiza mwenge Kitaifa  leo
 Wakuu  wa wilaya  Gelard Guninita  na Venance  mwamoto  katika picha ya pamoja na mwananchi  kulia

 Mpiga  picha wa TBC akiwa  juu ya  paa kufuatilia matukio ya   kilele  cha Mwenge  leo
Spika  wa bunge Anne Makinda  akiwa na  waziri wa nchi  ofisi ya  waziri mkuu sera na  uratibu  wa bunge Wiliam Lukuvi
Na matukiodaima.com

No comments:

Post a Comment