Tuesday, July 23, 2013

WEMA ADONDOSHA BONGE LA FUTARI NYUMBANI KWAKE AANDAA HAPPY BIRTHDAY ZA WADAU WAKE



OLYMPUS DIGITAL CAMERA
Mastaa wawili Hamisi Mandi maarufu kama B12 na Kajala Masanja ambao wote ni marafiki na wote wawili na share siku moja ya kuzaliwa. Leo ndiyo ilikuwa birthday yao ambapo Kajala Masanja alianza kwa kupeleka misaada kwa watoto yatima na baadaye kuungana na B12 kwenye party waliyoandaliwa na Wema Sepetu nyumbani kwa Wema. Kutoka millardayo.com tunawatakiwa maisha mema na marefu wote wawili na hizi hapa ndiyo picha zenyewe ambapo shughuli nzima ilitanguliwa na futari.


Wema Sepetu akimlisha keki B12

Zamu ya Kajala ilifika

Kulikuwa na keki zaidi ya nane kama unavyoziona

Hapa B12 akiwa kwenye futari ambayo iliandaliwa na Wema Sepetu

Wadau,ndugu na marafiki ambao walialikwa na Wema Sepetu

Kutoka Fish Crub anaitwa Lamaar

Kajala Masanja,Zamaradi Mketema,Wema Sepetu

Hii keki ndiyo iliyotia fora kwenye party

Keki hii kutoka kwa Wema kwenda kwa Kajala

Keki nyingine kwa ajili ya Kajala

Nyingine tena kwa ajili ya Kajala

Kutoka kwa Wema kwenda kwa B12
`
Kajala Masanja aliletewa keki za kutosha siku hii

Hawa ndiyo watoto waliozaliwa siku hii

Beautiful people
OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Hapa ilikuwa ni lights,camera then Instagram
OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Wema akiongoza wimbo wa happy birthday
OLYMPUS DIGITAL CAMERA

B12 akimlisha keki mfanyakazi mwenzake wa Clouds media group Zamaradi Mketema

Hugs hugs hugs
OLYMPUS DIGITAL CAMERA
OLYMPUS DIGITAL CAMERA

Ndugu MC wa party Wema Sepetu
OLYMPUS DIGITAL CAMERAhttp://millardayo.com/bday/

No comments:

Post a Comment