Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimbeba mmoja ya watoto yatima walioshiriki
katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasabahi baadhi ya watoto yatima
walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam jana
jioni. Watoto yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es
Salaam walihudhuria futari…
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimbeba mmoja ya watoto yatima walioshiriki
katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasabahi baadhi ya watoto yatima
walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam jana
jioni. Watoto yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es
Salaam walihudhuria futari hiyo.
Baadhi
ya watoto yatima wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.
Watoto yatima wakipata futari ikulu.
(PICHA ZOTE NA FREDDY MARO / IKULU)
No comments:
Post a Comment