Huku watu wakiendelea kujitokeza katika viwanja Leaders Club katika
harakati nzima ya kutoa heshima ya mwisho ya ndugu yetu msanii wetu na
kipenzi cha watu wengi muda huu mwili wa Marehemu Albert Mangwear ndio
umeingia katika viwanja vya leaders Club
MC akiwajibika kwa stage
Hawa wa kuokoa watu wanao zimia kwa kulia sana nao walikuwepo
Baadhi ya ma super star wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga.
No comments:
Post a Comment