Tuesday, June 18, 2013

HALIMA MDEE NA IDD AZAN WAKIJIFUA KUWAKABILI WOLPER NA JB

 

Halima Mdee na Idd Azan wakijifua mkoani Dodoma.
 

Mazoezi yakiwa yamepamba moto.
 

Mdee akijiimarisha kwa ajili ya kumkabili Wolper.
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Idd Azan ambaye ni Mbunge wa Kinondoni, wameanza kujichua kwa ajili ya mapambano yao ya ndondi katika Tamasha la Matumaini 2013 litakalofanyika Julai 7 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Halima Mdee atazipiga na Jacqueline Wolper wakati Idd Azan akionyeshana ubabe na Jacob Steven ‘JB’
(Picha na Luqman Maloto /GPL, DODOMA)

No comments:

Post a Comment