Friday, May 17, 2013

Mwana FA aanza kampeni dhidi ya Fistula Bukoba leo



Staa wa muziki wa kizazi kipya, Hamees Mwin'jumah, a.k.a MwanaFA(Pichani juu) yuko Bukoba kwa ajili ya kampeni ya vita dhidi ya ugonjwa wa Fistula ambayo imedhaminiwa na Vodacom Foundation na kuratibiwa na hospitali ya CCBRT

No comments:

Post a Comment