Wednesday, October 23, 2013

KIKWETE AKIWA LUDEWA

Rais Kikwete akiwa  katika  pozi kwenye mgodi wa chuma eneo la Mndindi Ludewa mkoani Njombe jana  ,nyuma na mgodi  wa chuma
Rais Kikwete kushoto akipata maelezo  kutoka kwa wawekezaji  wa kichina katika mradai wa Liganga Ludewa kulia wa kwanza ni mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe  akifuatilia kwa karibu mazungumzo hayo
Rais Jakaya Kikwete  wa tano  kulia akiwa  katika picha ya pamoja na watenda kazi  wa kampuni ya kichina ambao  wanasimamia mradi wa kufua  chuma eneo la Liganga kijiji cha Mndindi  Ludewa mkoani Njombe  wa kwanza kulia ni mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe na wa tatu kulia ni naibu waziri wa Nishati na madini GEorge Simbachawene  anayefuata ni mzee Mzindakaya
Mkuu  wa Trafiki Ikulu Kedmundi Mnubi akiongoza msafara  wa Rais Jakaya Kikwete
Rais Jakaya  Kikwete  katikati akiwa na mbunge wa jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe na mzee Mzindakaya ambae ni mtendaji wa NDC  jana katika eneo la Liganga kijiji cha Mdindi Ludewa mkoani Njombe ,nyuma ni mdogo wa chuma
Rais Kikwete akisisitiza jambo kuhusu kuwahamisha wananchi  wanazunguka mradi huo
Rais  Kikwete  akitoka kutembelea maradi wa Liganga kijiji cha Mndindi Ludewa
Huu ni mgodi wa chuma
Wananchi  wa Mndindi  Ludewa  wakimshangilia  Rais Kikwete
Rais Kikwete  akiwahotubia wananchi wa kijiji cha Mndindi Ludewa
Mkuu  wa Trafiki Ikulu Bw Kedmund Mnubi akiwa jirani na mgodi wa chuma Liganga Ludewa
Kikosi cha  wanahabari  waliopo katika msafara wa JK  wakiwa katika  picha ya pamoja na mzee wa matukio daima wa tatu kushoto  na mzee  wa TBC Mbeya Hosea Cheyo wa tatu  kulia
Mwanahabari wa radio Ice Fm Brighter Nyoni akiwafuatilia mambo katika  msafara wa JK kituo hiki cha Radio kipo Makambako Njombe na ni miongoni wa vituo vinavyofanya vyema  nyanda za juu  kusini chini ya mkurugenzi wake mwanahabari Mic
Naibu  waziri wa Maji Dr Binilith Mahenge akipozi kwa picha eneo la mgodi wa  chuma Ludewa
Rais Kikwete na mtoto wa mwekezaji wa kichina katika mradi wa Liganga Ludewa
Wananchi  wakiwa  wamezuia msafara  wa JK eneo la Shauri Moyo Ludewa  huku watoto  wakipanda juu ya miti  kumwona Rais wao
Rais Kikwete akipiga picha na wauguzi wa na walimu

No comments:

Post a Comment