MSIGWA
KISIWA CHA MATUKIO NA KUPASHANA HABARI
Wednesday, September 11, 2013
MWENYEKITI AGONGWA NA BODA BODA SINZA
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Sinza E amepata ajali ya kugongwa na bodaboda maeneo ya vatican karibu kabisa na kituo cha lion.
Mwendesha bodaboda mwenye koti jeusi na pensi ndiye mmiliki wa pikipiki hiyo
Wananchi wakimpakia mwenyekiti huyo kwenye gari la Msamalia mwema tayari kwa kumpeleka hospitali ya palestina sinza.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment