Mbunge
wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aakiwa ameng'ang'ania Microphone ya
sehemu ya Kuzungumzia wapinzani Bungeni wakati polisi walipokuwa
wakimtoa Bungeni Mjini Dodoma leo
Mbunge
wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi akiwa ameng'ang'ania Microphone ya
sehemu ya Kuzungumzia wapinzani Bungeni wakati polisi walipokuwa
wakimtoa Bungeni Mjini Dodoma leo. hata hivyo Microphone hiyo iling'oka na polisi wakafaikiwa kumtoa nje
Microphone hiyo iling'oka na polisi wakafanikiwa kumtoa nje-
Mbunge
wa Kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR_MAGEUZI, James Mbatia akisahangaa
kuona mapambano kati ya wabunge wa CHADEMA na Polisi Bungeni
No comments:
Post a Comment