Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akisindikizwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dkt.
Shukuru Kawambwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Mhe Bernard Membe kuelekea ukumbini kutunukiwa Shahada Ijumaa Septemba
20, 2013.
Nyimbo
za taifa zikipigwa wakati wa sherehe za kumtunuku Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete aki Shahada ya
Uzamivu katika Chuo Kikuu Guelph jimboni Ontario, Canada, Ijumaa
Septemba 20, 2013.
Sehemu
ya umati ulioshuhudia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kutunukiwa Shahada ya Uzamivu
ya Chuo Kikuu cha Guelph jimboni Ontario Ijumaa Septemba 20, 2013.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akitunukiwa Shahada ya Uzamivu na Provost na Makamu wa Rais wa Chuo
Kikuu cha Guelph jimboni Ontario, Dkt Maureen Mancuso , Ijumaa Septemba
20, 2013.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akishangiliwa katika Chuo Kikuu Guelph baada ya kutunukiwa Shahada ya
Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Guelph jimboni Ontario Ijumaa Septemba 20,
2013 Ijumaa Septemba 20, 2013.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akihutubia Chuo Kikuu Guelph baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu ya
Chuo Kikuu cha Guelph jimboni Ontario Ijumaa Septemba 20, 2013.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Guelph pamoja na na Waziri wa Elimu
na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa na Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe baada ya
kutunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Guelph jimboni Ontario
Ijumaa Septemba 20, 2013 Ijumaa Septemba 20, 2013.
Umati
ulioshuhudia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya
Mrisho Kikwete wakati wa kutunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Chuo Kikuu
cha Guelph jimboni Ontario Ijumaa Septemba 20, 2013.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa na Wakuu wa Chuo Kikuu Guelph pamoja na na Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa na Waziri wa Mambo
ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe baada ya kutunukiwa
Shahada ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Guelph jimboni Ontario Ijumaa
Septemba 20, 2013 Ijumaa Septemba 20, 2013.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akipongezwa baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha
Guelph jimboni Ontario Ijumaa Septemba 20, 2013.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dkt. Shukuru
Kawambwa (kulia) na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Mhe Bernard Membe baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Chuo Kikuu
cha Guelph jimboni Ontario Ijumaa Septemba 20, 2013.
No comments:
Post a Comment