Monday, September 30, 2013

ADAKWA NA SHEHENA YA BANGI



Polisi wakikagua mahali alipokuwa amejificha mtuhumiwa wa bangi.
   

  Mfuko wa bangi aliokamatwa nao mtuhumiwa.
 
Mtuhumiwa akipelekwa kutuo cha polisi.
 Kijana ambaye hakutambulika jina lake mara moja amenaswa na polisi akiwa na mfuko wa bangi.
Sakata hilo limetokea maeneo ya Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam mara baada ya polisi kumshuku jamaa huyo ambaye alionekana kujificha chini ya matenga ya nyanya mara baada ya kuwaona polisi hao.

No comments:

Post a Comment