Wednesday, August 28, 2013

OBAMA

obama_ahutubia_2dbbc.jpg
Rais Barack Obama, Mkewe Michelle Obama, marais wa zamani Jimmy Carter na Bill Clinton Agosti 28, 2013
Akizungumza na maelfu ya watu waliohudhuria maadhimisho ya miaka 50 tangu maandamano ya kutetea haki za kiraia kufanyika jijini Washington, rais Barack Obama jana Jumatano alisema 'kazi haijamalizika' ya kutetea haki na usawa kwa wamarekani wote

No comments:

Post a Comment