Monday, August 26, 2013

MAN U v/s CHELSEA HAKUNA MBABE

ROONEY_aa5aa.jpg
Rooney akimdhibiti Ramires
KOCHA wa Manchester United, David Moyes amepeleka ujumbe kwa Chelsea kwamba Wayne Rooney hatahamia Stamford Bridge majira haya ya joto kufuatia mchezo wa usiku huu wa miamba hao uliomalizika kwa sare ya bila kufungana kwenye Uwanja wa Old Trafford.

No comments:

Post a Comment