Monday, July 8, 2013

LOWASA AKIWA MWANZA





Waziri  mkuu mstaafu  Edward Lowasa  akisamiliana  na  waumini  wa dini ya Kiislam baada ya kualikwa kwenda kuchangia  kituo  cha radioIkra inayomilikiwa na BAKWATA  kiasi cha Tsh milioni 590 zilichangiswa

Lowasa alifanikiwa kuchangisha huko Mwanza zaidi ya milioni 590 wakati lengo lilikuwa kupata milioni 500 hivyo alivuka lengo la ukusanyaji.

No comments:

Post a Comment