Waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa akisamiliana na waumini wa dini ya Kiislam baada ya kualikwa kwenda kuchangia kituo cha radioIkra inayomilikiwa na BAKWATA kiasi cha Tsh milioni 590 zilichangiswa |
Lowasa alifanikiwa kuchangisha huko Mwanza zaidi ya milioni 590 wakati lengo lilikuwa kupata milioni 500 hivyo alivuka lengo la ukusanyaji. |
No comments:
Post a Comment