Sir Alex Ferguson akiwa na mkewe wakiangalia Tenis (HM)
Ferguson aliyestaafu kuifundisha United msimu uliopita baada ya kudumu kwa miaka 27, sasa kiti chake cha moto kimebakia kwa kocha mpya wa timu hiyo David Moyes.
Wakati Moyes akianza kazi katika uwanja wa mazoezi wa Carrington, Ferguson na mke wake alionekana kuwa na furaha katika michuano hiyo, huku akisahau mawazo ambayo angeyapata kutokana na Rooney kukataa kubakia Old Trafford. Chanzo: Baraka Mpenja
No comments:
Post a Comment