Saturday, July 13, 2013

DR. CHENI ABARIKI MABADIRIKO YA LULU


Stori: Chande Abdallah
Msanii wa filamu Bongo, Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ amesema anamtakia mafanikio mema kinda la filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya kujitangaza kuwa amebadilika.

Akizungumza na paparazi wetu, Dk. Cheni alisema  amefurahi kusikia mikakati ya Lulu na kumsihi ajitahidi kuishi hivyo ili aweze kufikia malengo yake kama alivyojipangia.
“Kwanza nampongeza na namuombea kwa Mungu atimize malengo yake. Ni jambo zuri kama ameamua kujikita katika kazi zaidi ya kitu chochote,” alisema Dk. Cheni.

CHANZO

No comments:

Post a Comment