Wednesday, June 5, 2013

VIOJA VYA MSIBANI WENGINE WANALIA WENGINE WANACHEKA

 

Miraji Kikwete akizungumza machache na Ummy Wenselaus 'Dokii' viwanja vya Lidaz

 

Ras Simaga akipita na zana zake baada ya kutoa heshima za mwisho.


 

Huyu Ras alishikwa sana na uchungu mpaka akawa anamwaga machozi kwenye msiba wa Mangwea 




 Huyu Baunsa sijui kwa nini aliganda hapo? Si angekaa pembeni tu.



Sio wote wanao kuja msibani wanakuja kwa ajili ya kufariji wafiwa wengine kuuza sura tu imradi aonekane alikuwepo.



Jamaa wanajipongeza kwa moja moto ingine ya uvugu vugu msibani



Hapo wengine ukiwauliza hata jina la kwanza la Mangwea ni nani utakuta wanatumbua macho tu lakini walikuwepo.

No comments:

Post a Comment