MSIGWA

KISIWA CHA MATUKIO NA KUPASHANA HABARI

Wednesday, June 5, 2013

UPDATES KUAGA MWILI WA MANGWEA

-Kwa sasa mwili wa marehemu upo katika Viwanja vya Leaders na umefika mahali hapo saa mbili kamili asubuhi
-Zoezi la kuaga mwili wa marehemu bado halijaanza ila litaanza muda wowote
-Watu wanazidi kumiminika katika Viwanja vya Leaders
-Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo ,Dk.Fenella Mukangara naye anatarajiwa kuwa miongoni mwa watu watakaofika eneo hilo kuaga mwili wa Mangweha
-Baada ya shughuli za kuaga, mwili wa marehemu utapelekwa mkoani Morogoro kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika nyumbani kwao Kihonda hapo kesho
COPYRIGHT, MSIGWA BLOG 12:52 AM

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

FIDELIS MSIGWA

FIDELIS MSIGWA

TAFUTA HABARI

ZILIZO TUFIKIA

  • KINACHO ENDELEA KENYA
  • MCHUNGAJI MSIGWA ALIACHIWA HIVI
  • KIFAA KIPYA CHATUA JANGWANI
Copyright 2013 Msigwa Blog. All Rights Reserved.. Picture Window theme. Powered by Blogger.