Kanda
Maalumu ya Dar es Salaam imemfukuza kazi askari wake wa kike, WP Amisa,
aliyekuwa akifanya kazi kituo cha Polisi Magomeni kutokana na utovu wa
nidhamu.
Kamanda
wa Kanda hiyo, suleiman Kova alisema jana hatua hiyo imefikiwa baada ya
askari huyo kukiuka maadili ya jeshi kwa kitendo chake cha kupiga picha
za uchi zilizoonekana katika mitandao.
"Jeshi halitasita kumchukulia hatua askari mwingine atakaye.
chanzo: HabariLeo
No comments:
Post a Comment