mwili wa kichanga hicho kilichotupwa katika dampo baada ya kutolewa kwenye dampo hilo
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Kota Mlandege Bi Mida Mkwawa akielezea tukio hilo
Wananchi wakishuhudia tukio hilo
mwili wa mtoto huyu baada ya kutolewa katika dampo
Polisi wakiwasili eneo la tukio
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa kota Mlandege akitoa maelezo kwa askari polisi
wananchi wakiwa wamelizunguka gari la polisi kushuhudia mwili wa mtoto huyo
na mzee wa matukio daima
No comments:
Post a Comment