Mwili wa Albert Mangwea ukiwa umefunuliwa tayari kwa kuagwa.
Wamamchi mbali mbali wakipita kutoa salamu za mwisho
Joti nae hakuwa nyuma kutoa salamu za mwisho kwenye sanduku la Mangwea
Diamond 'sukari ya warembo' nae alikuwepo
Rais wa Tip Top Madee nae alikuwepo
Hivi ndivyo ilivyo kuwa viwanja vya Leaders
Msafara sasa umeanza kuelekea Moro.
No comments:
Post a Comment