Meneja wa Masoko wa Konyagi, Joseph Chibehe akielezea jinsi vinywaji vyao vinavyochangia mapato ta serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa, akionesha kinywaji cha Afrika Kusini kilichofungwa kwenye viroba kama ambavyo Konyagi inafanya hapa nchini.Vinywaji kama hivyo vipo karibu nchi nyingi Ulimwenguni.
Bidhaa zilizofungwa kwenye viroba
Makamu
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo,Maji na Mifugo, Said Nkumba
akichangia mada hiyo kwa kuviasa baadhi ya vyombo vya habari kuacha
kuandika habari za kudidimiza viwanda vya haba nchini. Kulia ni Idd
Azzan Mbunge wa Kinondoni na Dunstan Kitandula ambaye ni Makamu
Mwenyekiti was Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, Dunstan Kitandula akichangia mada hiyo.
Naibu
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala, akichangia
mada katika semina hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri wa TAMISEMI, Kassim
Majaliwa na Said Nkumba: Chanzo: Mhamila rajabu
No comments:
Post a Comment