Mji wa Ujerumani ukiwa umezungukwa na maji
Hapa sio Jangwani ni Ulaya huko nako kimenuka
Wananchi wakiokolewa na boat baada ya nyumba zao kufurika maji
Wazee wanapiga hesabu jinsi ya kukausha maji sebureni na chumbani.
Huyu hii teknolojia atakuwa kaitoa Afrika ya kuvaa rambo miguuni alikosa buti,
No comments:
Post a Comment