Tuesday, June 4, 2013

DAR MBEYA HII



Ni dereva wa bus la Ndenjela Coach anakung'uta route ya Dar Mbeya anajiamini sana akiwa barabarani abiria mnakuwa hamna wasi wasi, Kitonga anashusha na speed ile ile inayo takiwa ananikosha sana kwenye kona za Iyovi analala nalo speed 120 na anafika Dar kwa wakati. Wadada mjitokeze kwa wingi si kila ajira ni kwa ajili ya kina Baba au mnasubili mkiwezeshwa?
Yupo mwingine anakung'uta bus la Shabiby Dar Dom nae yupo vizuri.

No comments:

Post a Comment