Mrisho
Ngassa akiibusu jezi ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi kurejea
katika klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili asubuhi ya leo, makao ya
klabu hiyo makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam.
Katibu wa Yanga, Lawrence Mwalusako akimkabidhi Ngassa jezi ya Yanga leo
No comments:
Post a Comment