Friday, May 31, 2013

MAOMBELEZO YA NGWEAR YAPO HIVI KWA BABA YAKE

  Picha ya marehemu Mangwea enzi ya uhai wake.
Ndugu na majirani wakiwa katika maombolezo.
  Ni masikitiko matupu.…
  Picha ya marehemu Mangwea enzi ya uhai wake.
Ndugu na majirani wakiwa katika maombolezo.
  Ni masikitiko matupu.
Mwanamuziki, Mrisho Mpoto a.k.a Mjomba  (kulia) akipata mawili-matatu kutoka kwa mmoja wanakamati ya mazishi, Michelle Louse Hancock (kushoto).
  …Akiomba namba ya simu  ya Hancock.
  Mpoto akisaini kitabu cha maombolezo.
  Majadiliano yakiendelea msibani. Kulia ni Mwanamuziki Kala Jeremiah.
  Hii ndiyo nyumba ya baba mdogo wa marehemu.
Vyombo vitakavyotumika kwenye muziki wa maombolezo.
Matayarisho ya mahali watakapokaa waombolezaji.
MAOMBOLEZO ya msiba wa aliyekuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, marehemu Albert Mangwea, yameanza  nyumbani kwa baba yake mdogo, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambako jana jioni ndugu, jamaa na majirani walikutwa wakiwa katika matayarisho ya kuupokea mwili wa marehemu.
(PICHA : RICHARD BUKOS / GPL)

No comments:

Post a Comment