Sunday, May 5, 2013

MAJERUHI WA TUKIO LA ARUSHA


Majeruhi wakiwaishwa kupata matibabu

Hivi ndivyo hali halisi ilivyo kuwa Arusha

 
Yaani ilikuwa balaa sana

Dakika chache baada ya mlipuko hivi ndivyo watu walivyodhurika

 wananchi wakiwa wameanguka chini huku wengine wakiwa wanakimbia mara baada ya mlipuko kutokea katika kanisa la mtakatifu joseph

 hapa maaskofu na balozi wakiwa wanabariki chumvi kabla ya mlipuko kutokea
 

No comments:

Post a Comment