JK akiweka jiwe la msingi Barabara ya Iringa –Dodoma .
Rais Jakaya Mrisho kikwete akiongea na wananchi wa Iringa
Baadhi ya wananchi walio hudhulia
Rais Jakaya kikwete wa nne kushoto
akiwa na viongozi mbali mbali akiwemo waziri wa ujenzi Dkt John
Magufuli wa wa sita na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera na
uratibu wa bunge na mbunge wa jimbo la Isimani Bw. Wiliam Lukuvi nyuma
viongozi wa mahakama na viongozi wa serikali
Picha ya pamoja na watumishi wa TANROADS mkoa wa Iringa na Rais Jakaya Kikwete
JK akipanda mti baada ya kuweka jiwe la msingi
Picha na Said Ng'amilo (mjengwablog)
No comments:
Post a Comment