HHiki nikioo cha gari ambapo majambazi yapayo manne yalikuwa na machine gun pamoja na bastola na kumdungua dereva begani.
Kama unavyo ona matundu ya risasi

Polisi wakichukua maelezo ya tukio

Huu ndo mkoko ulio kuwa na mpunga yapata Milioni 40 na wajanja wamechukua na kuondoka nazo
No comments:
Post a Comment