KATIBU
Mkuu wa CCM, Kanali mstaafu, Abdulrahman Kinana (wapili kulia) na Katibu
wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kulia) wakiwa kwenye ufukwe wa
ziwa Nyasa, kwenye mwambao wa ziwa hilo katika Kijiji cha Lupingu, Kata
ya Lupingu Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe, leo Mei 29, 2013, akiwa
katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama na kusikiliza kero
za wananchi katika mkoa huo. Wengine ni Mbunge wa Ludewa, Deo
Philikunjombe na Mbunge wa Mwibala Kange Lugora
No comments:
Post a Comment