Sunday, April 28, 2013

USIOMBEE YAKUKUTE

SONY DSCKibaka ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja akiwa chini ya ulinzi wa raia wenye hasira kali baada ya kupokea kichapo kikali kutoka kwa wananchi hao akituhumiwa kumpora simu mpita njia eneo la Kariakoo jijini Dar es salaam jana.

No comments:

Post a Comment