Friday, October 25, 2013

JUKWAA LA KISASA SERENGETI FIESTA

Jukwaa la kisasa kwa ajili ya Fiesta Serengeti Fiesta 2013 likiwa kwenye matengenezo ikiwa leo ni siku ya 9 likiwa kwenye matengezo ni jukwaa la kisasa lenye mashine za kisasa ambazo zitakuwa zikifanya kazi mbalimbali. Katika viwanja vya leaders club kutakuwa na screen kubwa ambazo zitakuwa zikionyesha matukio mbalimbali yanayoendelea, Serengeti Fiesta 2013 ni JUmamosi 26 Oktoba 2013 huku zaidi ya wasanii 300 wakitarajwa kutoa burudani hawa wakiwa ni wasanii wakali kutoka Tanzania na wasanii wa kimataifa ni wanne ambao ni mkali Mohombi, Iyanya,Davido na Alaine - Serengeti Fiesta 2013 Noma Saana Twenzetu!!
Nick na Perfect wa Clouds TV "Clouds E" wakiwa pande za Leaders club ambapo litafanika Tamasha kubwa la Serengeti Fiesta 2013 -- Noma Saana!!

No comments:

Post a Comment