Jukwaa
la kisasa kwa ajili ya Fiesta Serengeti Fiesta 2013 likiwa kwenye
matengenezo ikiwa leo ni siku ya 9 likiwa kwenye matengezo ni jukwaa la
kisasa lenye mashine za kisasa ambazo zitakuwa zikifanya kazi
mbalimbali. Katika viwanja vya leaders club kutakuwa na screen kubwa
ambazo zitakuwa zikionyesha matukio mbalimbali yanayoendelea, Serengeti
Fiesta 2013 ni JUmamosi 26 Oktoba 2013 huku zaidi ya wasanii 300
wakitarajwa kutoa burudani hawa wakiwa ni wasanii wakali kutoka Tanzania
na wasanii wa kimataifa ni wanne ambao ni mkali Mohombi, Iyanya,Davido
na Alaine - Serengeti Fiesta 2013 Noma Saana Twenzetu!!
No comments:
Post a Comment