MSIGWA
KISIWA CHA MATUKIO NA KUPASHANA HABARI
Thursday, September 12, 2013
TRAFIC ANUSULIKA KICHAPO TANGA
Trafiki akizozana na dereva Bodaboda aliyevunja sheria katika stendi kuu ya mabasi mkoani Tanga.
...Askari akiingilia kati kumnusuru trafiki baada ya dereva Bodaboda kuanza kumzonga.
...Pikipiki ikipelekwa kituoni.
...Safari ya kuelekea kituo cha polisi wa usalama barabarani.
(Picha na Richard Bukos aliyekuwa Tanga)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment