Tuesday, September 10, 2013

TANZANIA YA TATU KWA ULEVI

mbege_9a884.jpg
Ni saa nne asubuhi, asilimia kubwa ya wakazi wa kijiji cha Chikunja, wilayani Masasi, wameshawasili kwa Binti Palanga, wakinywa pombe aina ya gongo. Wengine wameketi chini ya mkorosho wakinywa chibuku, na baadhi wapo katika kikundi wakishirikiana kopo lililojaa pombe maarufu ya wanzuki.
Si kijiji cha Chikunja pekee, haya ndiyo maisha ya wakazi wa maeneo mengi nchini Tanzania ambao takwimu zinaonyesha wanakunywa zaidi pombe za kienyeji kuliko wale wanywaji wa pombe nyingine zinazotengenezwa viwandan

No comments:

Post a Comment