Muhubiri
huyu maarufu Askofu Moses Kulola alifariki akiwa na miaka 85 hospitali
Dar es salaam August 29 2013 ambapo kwa mujibu wa Emmanuel Mbasha ambae
ni mume wa mjukuu Flora Mbasha, mzee Kulola alikua akisumbuliwa na
maradhi mbalimbali.
Gazeti la Uhuru leo September 4 limeandika kwenye ukurasa wa kwanza
kwamba Rais Jakaya Kikwete ataongoza Watanzania kwenye maziko ya Askofu
Kulola. Pichaz zote zimetoka gospelkitaa.blogspot.com ambao huwa wanaripoti mbalimbali za Injili Tanzania.
No comments:
Post a Comment