Popote utakapotulia na kutazama
pambano lolote litakaloonyeshwa moja kwa moja au kwa marudio, kupitia
kituo cha Televisheni cha Azam (Azam TV), usiwe na shaka, utaliona
pambano maridadi. Weka soda yako sebuleni kando kisha
watazame Jerry Santo na Amri Kiemba wakichuana katikati ya uwanja wowote
ule wa soka nchini huku kamera nane za Azam TV zinazorekodi pambano lao
zikiwachukua kwa umaridad.
No comments:
Post a Comment