Kesi hiyo ambayo imeunguruma kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar takribani miaka minne, kupitia kwa hakimu wake, Aloyce Katemana ilitoa hukumu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa upande wa utetezi na Jamhuri. Vilevile kwa wale wote waliopanda katika taasisi hiyo wote wameonekana kutenda kosa, hivyo hawana chao.
Monday, August 19, 2013
WACHUNGAJI WA DECI JELA MIAKA 3
Kesi hiyo ambayo imeunguruma kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar takribani miaka minne, kupitia kwa hakimu wake, Aloyce Katemana ilitoa hukumu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa upande wa utetezi na Jamhuri. Vilevile kwa wale wote waliopanda katika taasisi hiyo wote wameonekana kutenda kosa, hivyo hawana chao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment