Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa
na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiondoka Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuelekea Harare, Zimbabwe,
kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe Robert
Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho
Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiwasili katioka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare, Zimbabwe, walikoalikwa kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho
Alhamisi Agosti 21, 2013
Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiwasili katioka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare, Zimbabwe, walikoalikwa kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho
Alhamisi Agosti 21, 2013
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment