Monday, August 26, 2013

HE KUMBE HALIKUWA BOMU NI RADIO SOUND

IMG 1202 c86c0
Mtabiri mwandamizi wa Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania Bwana Augustine Kanemba akielezea namna kifaa kilichodhaniwa kuwa bomu kinachoitwa Radio Soundr kinavyotumika kufanya kazi kwenye shughuli za anga,kushoto ni kamanda wa polisi kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova.

No comments:

Post a Comment