Tuesday, July 16, 2013

MAANDAMANO YA AMANI YA CHADEMA KWENDA OFISI YA MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA

 Wafuasi wa CHADEMA wakishangilia ushindi katika maandamano ya amani ya madiwani wapya na viongozi kwenda kumpongeza Mkurugenzi wa jiji kwa kusimamia uchaguzi vizuri.
 
Lema akiwa na madiwani wapya wakiingia katika jingo la Halmashauri kuonana na Mkurugenzi wa jiji  Wafuasi wa Chadema wakiandamana kuelekea katika ofisi za Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwenda kumpongeza kwa kusimamia vizuri uchaguzi wa Madiwani. ( Picha na Ferdinand Shayo)

No comments:

Post a Comment