Picha aliyoipost Agnes Masogange katika mtandao wa Instagram kabla yeye
na mwenzake hawajakamatwa na shehena ya madawa ya kulevya yenye thamani
ya Tshs. bilioni 7 katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johanesburg
nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa wiki hii.
No comments:
Post a Comment