Monday, June 17, 2013

WANACHUO MTWARA WADONDOSHA PARTY LA UFUSKA





 Ndani ya pub hiyo, madenti hao  walianza  kwa  staili  ya  kupiga  pombe  kabla  ya  michezo ya  kifusika  kuanza...

Pombe  ilipowakolea, madenti  hao  waligawana, kila  mtu  mtu  na  wake  na  kuanza  kubadilishana  mate  na  michezo  mingine  ya  michafu...
Hali  hiyo  ilizua taflani  kubwa  kwa  wananchi waliokuwa  eneo  hilo huku  wengine  wakionekana  kutoamini  macho  yao  kwa  vitendo  vilivyokuwa  vikitendwa  na  madenti  hao..

No comments:

Post a Comment