Tuesday, June 18, 2013

MACHANGUDOA WANASWA WAKIWA SOKONI


 
Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata akinadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao maarufu kama Machangudoa katika eneo la Sinza.

Picha hizi ( juu) zinaonesha namna walivyokuwa wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria


 
Wamenaswa wakiwa katika harakati za kujitafutia kipato kisicho halali

No comments:

Post a Comment