MSIGWA
KISIWA CHA MATUKIO NA KUPASHANA HABARI
Thursday, May 30, 2013
TUMBO LIMEBEBA WATOTO 5 HILI
Nchini Czech republic, mwanamke huyu mwenye umri wa miaka 23 ndo wakwanza humo nchini kupata (quintuplets) ujauzito wa watoto watano kwa mpigo katika njia ya kawaida. Anatarajiwa kujifungua kwa njia ya upasuaji (caesarian section) wiki hiii!
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment