Sunday, May 5, 2013

POLISI WAKIWA KAZINI MASHINE 3 IRINGA

100 89126
Polisi mkoani Iringa wakiwa Doria Barabara ya mtaa wa Mashine tatu kuzuia wafanyabiashara maarufu kwa jina la machinga ambao wamezuiliwa kufanya biashara katika barabara hiyo siku ya jumapili kama walivyokuwa wanafanya awali. Pia polisi wanafanya doria kwa kuzunguka mitaa ya kata ya miyomboni katika kukabiliana na machinga hao. Chanzo: mjengwablog, Iringa

m3 b7d46

Polisi wakiwa eneo la mtaa wa mashine tatu.





m4 9d711

Doria mashine tatu

No comments:

Post a Comment