Sunday, May 5, 2013

PICHA YA MWANAMKE ALIYE PIGWA RISASI K.KOO



Samahani kwa  picha hii hapo juu
Majambazi yapora mama mmoja kiasi cha shilingi milioni kumi na kutokomea kusikojulikana. Tukio hilo limetokea jumamosi saa 5:16 jioni, inavyosemekana mdada huyo  alikua akitoka benki ya CRDB tawi la Uhuru ambapo majambazi yakiwa na pikipiki yalikua yakimfuatilia, alipotoka tu wakaligonga gari lake makusudi ndipo dada huyo aliposimama ili angaalie nani kagonga gari yake ambapo jambazi mmoja alishuka na kumpiga risasi ya kifuani na kutokomea na kiasi hicho cha pesa. Mpaka tunaingia mitamboni hakuna habari yoyote ya kukamatwa kwa wahalifu hao.

No comments:

Post a Comment