Thursday, May 30, 2013

HAWA NDO WANAO SABABISHA INTERNET KUWA NA KWIKWI

203 orig 3e584
Mwizi wa mkongo wa mawasiliano amekamatwa akiwa na vipande vya mkongo maeneo ya boko darajani jijini Dar es salaam.
Matukio kama haya yamekuwa ni vipingamizi katika kutoa huduma bora kwa wateja wetu.
Kutokana na hali hiyo, sisi kama wadau wa mawasiliano, tunapenda kuwaasa Watanzania kwa ujumla, kama kweli tuna uzalendo wa kweli na mapenzi ya dhati na kampuni yetu ya mawasiliano inabidi kujitoa zaidi katika kufanikisha usalama wa miundombinu ya kampuni yetu.

No comments:

Post a Comment