Mwizi wa mkongo wa mawasiliano amekamatwa akiwa na vipande vya mkongo maeneo ya boko darajani jijini Dar es salaam.
Matukio kama haya yamekuwa ni vipingamizi katika kutoa huduma bora kwa wateja wetu.
Kutokana
na hali hiyo, sisi kama wadau wa mawasiliano, tunapenda kuwaasa
Watanzania kwa ujumla, kama kweli tuna uzalendo wa kweli na mapenzi ya
dhati na kampuni yetu ya mawasiliano inabidi kujitoa zaidi katika
kufanikisha usalama wa miundombinu ya kampuni yetu.
No comments:
Post a Comment